Image from Google Jackets

Binadamu Na Maendeleo

By: Material type: TextTextPublication details: London Oxford University Press 1974Description: vii,122pISBN:
  • 0195723252
Subject(s): Summary: Kitabu hiki kidogo kimekusanya hotuba na maandishi machache ya Rais Nyerere yenya lengo la kusaidia kuongeza fikira za kisuasa katika Tanzania na mahali pengine. Kila moja ya hotuba hizo ziliochaguliwa inaeleza kitu fulani katika maisha ya mwanadamu: haki zake na wajibu wake katika nchi yake. Kati ya hotuba hizo mna zinazohusu kanisa na maisha ya watu, wajibu wa chama cha siasa, sababu ya kuchagua ujamaa katika Afrika, na nyingine zinazotilia mkazo usawa na heshima ya binadamu
Tags from this library: No tags from this library for this title. Log in to add tags.
Star ratings
    Average rating: 0.0 (0 votes)
Holdings
Item type Current library Status Barcode
Book Book UONGOZI Institute Resources Centre - Dar es Salaam Available 000071

Kitabu hiki kidogo kimekusanya hotuba na maandishi machache ya Rais Nyerere yenya lengo la kusaidia kuongeza fikira za kisuasa katika Tanzania na mahali pengine. Kila moja ya hotuba hizo ziliochaguliwa inaeleza kitu fulani katika maisha ya mwanadamu: haki zake na wajibu wake katika nchi yake. Kati ya hotuba hizo mna zinazohusu kanisa na maisha ya watu, wajibu wa chama cha siasa, sababu ya kuchagua ujamaa katika Afrika, na nyingine zinazotilia mkazo usawa na heshima ya binadamu

There are no comments on this title.

to post a comment.
Share