Nyufa
- Dar es Salaam Taasisi ya Mwalimu Nyerere 1995
- 42p.
Hotuba ya Baba wa Tifa, Mwalimu Julius K. Nyerere kwa Waandishi wa Habari Kilimanjaro Hotel Mwaka 1995. Mwalimu Nyerere alizunumzia matatizo matano yaliyolikumba taifa letu; matatizo hayo aliyaita kwa jina la NYUFA. Nyufa hizo ni: MUUNGANO, KUPUUZA NA KUTOJALI KATIBA, UTAWALA WA SHERIA, RUSHWA, UKABILA NA UDINI